• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
        • Elimu ya Msingi Michezo na Utamaduni
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya jamii na Ustawi wa Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Fedha na Biashara

MAJUKUMU YA IDARA YA FEDHA 

  • Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwa kufuata sheria mama na sheria ndogo za Halmashauri.
  • Kuhakikisha kwamba mapato yote yanakusanywa kwa kutumia mfumo  wa mapato (LGRCIS).
  • Kuandaa, kuwasilisha na kusimamia utekelezaji wa bajeti ya Halmashauri iliyopitishwa na kuhakikisha matumizi ya fedha 
  • yanafanyika kwa mujibu wa shughuli zilizoidhinishwa.Kusimamia matumizi ya fedha za serikali kwa kufuata kanuni, miongozo na sheria.
  • Kuandaa taarifa ya mapato na matumizi kila mwezi.
  • Kuandaa hesabu za mwisho kuishia Juni, 30 ya kila mwaka na kuwasilisha kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali ifikapo 30.Septemba ya kila mwaka.
  • Kutoa ushauri wa masuala ya fedha kwa wakuu wa idara na vitengo.
  • Kumshauri Mkurugenzi katika masuala ya fedha.

 KITENGO CHA BIASHARA

Kitengo cha Biashara ni Kitengo kilichopo chini ya Idara ya fedha na Biashara. Kitengo hiki kinalojukumu kubwa la kutoa leseni za biashara pamoja na leseni za vileo, na utoaji wa leseni hizi ni kwa mujibu wa sheria kama ifuatavyo:-

 Leseni za biashara zinatolewa chini ya sheria ya leseni ya biashara Na. 25 ya mwaka 1972 na marekebisho yake ya 1980,  2013 kifungu 11(1) na marekebisho ya mwaka 2015.

Leseni za vileo  zinatolewa chini ya sheria ya vileo ya mwaka 1968 kifungu Na. 28 na marekebisho yake ya mwaka 1981 na 2011.

Ushuru wa makazi unatozwa kwa kutumia sheria ya ulipaji wa Huduma za jiji Na. 23 (1972).

MAJUKUMU MENGINE NI KAMA HAYA YAFUATAYO:-

Kitengo cha Biashara pia kinayo majukumu mengine ambayo kinayatekeleza kama ifuatavyo;-

•    Usimamizi na Ukaguzi wa nyumba za kulala wageni na

•    Utozaji wa ushuru wa malazi (Hotel levy),

•    Utoaji wa mafuzo na ushauri kwa wajasiriamali wadogo na wakubwa.

•    Ukaguzi wa leseni zote na biashara,

•    Ukaguzi wa Viwanda vidogo na vikubwa.

•    Ushiriki na uandaaji wa maonyesho mbali mbali ya biashara.

•    Usajili wa Pikipiki, Bajaji na Taxi.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWA 2020 MANISPAA YA MOSHI December 06, 2019
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2019 MANISPAA YA MOSHI December 14, 2018
  • TANGAZO LA USAFI WA MAZINGIRA March 28, 2018
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 22, 2018
  • Tazama

Habari Mpya

  • UBORESHAJI WA DAMPO MANISPAA KUANZA

    May 27, 2019
  • WANAWAKE NA VIJANA WAENDELEA KUNUFAIKA NA MIKOPO ISIYO NA RIBA

    March 27, 2019
  • MKUU WA WILAYA YA MOSHI AWATEMBELEA WANUFAIKA WA TASAF

    March 14, 2019
  • MILLION 200 ZATOLEWA KWA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU

    February 21, 2019
  • Tazama

video

videos

Kurasa za Karibu

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi