• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

Posted on: January 20th, 2025


Halamshauri ya Manispaa ya Moshi imetoa Mikopo isiyo na riba ya Tsh . 357,573,000/= kwa Vikundi 18 vya Wanawake na Vijana ambapo Vikundi 9 vya Wanawake vimepewa Tsh. 97,600,000/= na Vikundi vya Vijana 9 vimepewa Tsh. 259,973,000/=.

Akizungumza Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Mwajuma Nasombe amesema wamekabidhi fedha na vyombo vya moto (Bajaji na Bodaboda) vyenye thamani ya  Tsh. 357,573,000/= kwa vikundi hivyo kutokana na kukidhi vigezo vilivyowekwa.

Nasombe alisema toka lifunguliwe dirisha la utoaji wa Mikopo na Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Novemba 2024 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi imefanikiwa kutoa mikopo ya Shilingi Bilioni 1.1 ambapo  kiasi cha shilingi milioni 800 zilizotolewa kwa awamu ya kwanza mwishoni wa mwezi Novemba 2024.
Aidha amewataka wanufaika hao kuitumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusidiwa na kuhakikisha  kuwa waaminifu kwa matumizi ya fedha hizo na kuhakikisha wanazirijesha kwa wakati ili ziweze kunufaisha walengwa wengine. walivyoomba.

Naye, Naibu Meya wa Manispaa ya Moshi Mhe. Stuart Nkinda amewataka wanufaika hao kurejesha mikopo hiyo kwa wakati kwani kufanya hivyo itawasaidia wananchi wengine kukopa na kuweza kujikwamua kiuchumi kwa  kwa ajili ya maendeleo yao na Manispaa kwa ujumla.


Akizungumza kwa niaba ya  wanufaika wa mkopo hiyo  Ally Mohamed ambaye ni Mwenyekiti wa Kikundi Cha Quality Printind ametoa shukrana na kupongeza mfumo mpya wa utoaji mikopo ulioanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan na kuahidi kuwa watatumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa na kuhakikisha wanarejesha kwa wakati.



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi