• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Maendeleo ya Jamii

WAJIBU WA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII KWA WANANCHI

Idara ya Maendeleo ya Jamii inawajibik kwa wananchi wa Manispaa ya Moshi kama ifuatavyo:

1.Kusaidia jamii kupata ujuzi wa aina mbalimbali ambao katika eneo wanaloishi. Ujuzi huo utawasaidia kuuinua kiwango cha kipato chao na kuleta mabadiliko yanayoweza kupimika katika Maisha yao ya kila siku.

2.Kuhamasisha/kushawishi ushirikiano wa kudumu na wa karibu wa mamlaka zote zinazohusika kuchangia kwa hali na mali maendeleo ya jamii.

3.Kusaidia kupanga na kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya jamii.

4.Kuimarisha jamii ili itambue kuwa rasilimali za kuleta maendeleo zipo ndani yao wenyewe na kwamba wana uwezo wa kuzibaini na kuzitumia na mafanikio yakaonekana bila kutegemea msaada kutoka nje.

5.Kusaidia kuhakikisha kuwa sera za uchumi/ mapato zilizop au ziliwekwa mamlaka husika zinatumika katika kuleta maendeleo ya jamii.

6.Kusaidia kujenga ari miongoni mwa jamii na kusisitiza itambue kuwa familia/ kaya ndiyo msingi mkuu wa maendeleo ya jamii na ndipo hapo mzanzo wa Maisha bora utakapoanza kuonekana kwa kufanya kazi kwa bidi.

7.Kusaidia katika kuhakikisha kuwa mipango ya utekelezaji inayosimamiwa na sekta ya maendeleo ya jamii imebuniwa na jamii yenyewe na tathmini inafanywa na wao wenyewe pia

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi