• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

RC BABU AIPONGEZA MANISPAA YA MOSHI

Posted on: July 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu ameipongeza Manispaa ya Moshi kwa kukabidhiwa tuzo mbili za pongezi za Taifa “Key Performance Indicators” (KPI) kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutokana na ufaulu mzuri kwa elimu ya msingi na Sekondari.

Akizungumza leo Julai 15, 2025 wakati wa hafla ya kuipokea tuzo hiyo, Babu amesema Manispaa ya Moshi kupitia mkurugenzi wake imeuheshimisha Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuzo hizo na kuutaka uongozi wa Manispaa kuendeleza ufaulu huo kila mwaka.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Mwajuma Nasombe ameeleza kuwa mafanikio hayo yamesababishwa na jitihada zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan za kuboresha sekta ya elimu nchini ikiwemo maslahi ya walimu na miundombinu ya elimu.

Pia, ametaja sababu nyingine za mafanikio kuwa ni pamoja na, nidhamu iliyotukuka miongoni mwa watumishi na ushirikiano uliopo baina ya Manispaa hiyo na uongozi wa Mkoa na Chama cha Mapinduzi.

Aidha, Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi, Rose Sandi amesema katika kipindi cha miaka minne hadi kufikia 2024, Manispaa hiyo imekuwa ya kwanza ki mkoa kwa matokeo ya Darasa la nne ambapo 2024 imekuwa ya kwanza kimkoa na kitaifa huku Darasa la saba Manispaa hiyo ikishika nafasi ya kwanza kimkoa na ya nane kitaifa.

Naye, Kaimu Afisa Elimu Sekondari, Salome Msegeya amesema katika kipindi cha miaka minne hadi kufikia 2024, Manispaa hiyo imekuwa na ufaulu wa Zaidi ya Asilimia 90 ambapo kwa kidato cha pili na kidato cha nne huku mwaka 2024 kidato cha nne kikifaulu kwa asilimia 95.55 na kuifanya manispaa kupata tuzo ya KPI.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI June 09, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • RC BABU AIPONGEZA MANISPAA YA MOSHI

    July 15, 2025
  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • Tazama

video

MAFANIKIO YA MIAKA 5 YA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA MOSHI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi