• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Fedha na Biashara

MAJUKUMU YA IDARA YA FEDHA 

  • Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwa kufuata sheria mama na sheria ndogo za Halmashauri.
  • Kuhakikisha kwamba mapato yote yanakusanywa kwa kutumia mfumo  wa mapato (LGRCIS).
  • Kuandaa, kuwasilisha na kusimamia utekelezaji wa bajeti ya Halmashauri iliyopitishwa na kuhakikisha matumizi ya fedha 
  • yanafanyika kwa mujibu wa shughuli zilizoidhinishwa.Kusimamia matumizi ya fedha za serikali kwa kufuata kanuni, miongozo na sheria.
  • Kuandaa taarifa ya mapato na matumizi kila mwezi.
  • Kuandaa hesabu za mwisho kuishia Juni, 30 ya kila mwaka na kuwasilisha kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali ifikapo 30.Septemba ya kila mwaka.
  • Kutoa ushauri wa masuala ya fedha kwa wakuu wa idara na vitengo.
  • Kumshauri Mkurugenzi katika masuala ya fedha.

 KITENGO CHA BIASHARA

Kitengo cha Biashara ni Kitengo kilichopo chini ya Idara ya fedha na Biashara. Kitengo hiki kinalojukumu kubwa la kutoa leseni za biashara pamoja na leseni za vileo, na utoaji wa leseni hizi ni kwa mujibu wa sheria kama ifuatavyo:-

 Leseni za biashara zinatolewa chini ya sheria ya leseni ya biashara Na. 25 ya mwaka 1972 na marekebisho yake ya 1980,  2013 kifungu 11(1) na marekebisho ya mwaka 2015.

Leseni za vileo  zinatolewa chini ya sheria ya vileo ya mwaka 1968 kifungu Na. 28 na marekebisho yake ya mwaka 1981 na 2011.

Ushuru wa makazi unatozwa kwa kutumia sheria ya ulipaji wa Huduma za jiji Na. 23 (1972).

MAJUKUMU MENGINE NI KAMA HAYA YAFUATAYO:-

Kitengo cha Biashara pia kinayo majukumu mengine ambayo kinayatekeleza kama ifuatavyo;-

•    Usimamizi na Ukaguzi wa nyumba za kulala wageni na

•    Utozaji wa ushuru wa malazi (Hotel levy),

•    Utoaji wa mafuzo na ushauri kwa wajasiriamali wadogo na wakubwa.

•    Ukaguzi wa leseni zote na biashara,

•    Ukaguzi wa Viwanda vidogo na vikubwa.

•    Ushiriki na uandaaji wa maonyesho mbali mbali ya biashara.

•    Usajili wa Pikipiki, Bajaji na Taxi.


Matangazo

  • WALIOCHAGULIWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI SHULE YA SEKONDARI MAWENZI July 27, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • WANANCHI WA KATA YA MSARANGA WAMPONGEZA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUWAJENGEA SHULE YA SEKONDARI

    February 22, 2023
  • ZAIDI YA BILIONI 50.1 KUTUMIKA MANISPAA YA MOSHI 2023/2024

    February 14, 2023
  • MKUU WA WILAYA AWAPONGEZA WALIMU WA MANISPAA YA MOSHI

    January 10, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA MOSHI AUPONGEZA UONGOZI WA MANISPAA KWA KUTOA MIKOPO YA SHS. 367,550,000.

    November 10, 2022
  • Tazama

video

LISHE KUWA AJENDA YA KUDUMU MANISPAA YA MOSHI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi