• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

Posted on: April 10th, 2025

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw Nurdin Babu ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kwa kushika nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kitaifa ya Usafi na Mazingira katika kundi la Manispaa  nchini.

Aidha ameipongeza Manispaa  kwa kutoa Mtaa msafi nchini ambao  Mtaa wa Rengua uliopo kata ya Mawenzi.

 Babu alitoa pongezi hizo wakati akipokea tuzo hizo kutoka kwa Uongozi wa Manispaa  ambapo aliwataka viongozi na watumishi wote wa Manispaa  kuendelea kujituma ili kulinda heshima waliyoipata.

“Ushindi huu mlioupata ni mkubwa kwenu na Mkoa wetu kwa jumla; kikubwa hapa ni kudumisha mshikamano, umoja na kuheshimiana miongoni mwenu wakati mkitekeleza majukumu yenu kwani hayo ndiyo yaliyowawezesha kupata heshima hii kubwa”, alisema Babu

Vile vile aliwapongeza wananchi wa Manispaa ya Moshi kwa kushirikina na viongozi wao kwa kufanya usafi kuwa ni moja ya kipaumbele chao jambo ambalo  limepekea ushindi huu.

“Usafi unaanzia mtu alipo kwa maana ya kuwa unaanzia majumbani mwetu, hivyo tuilinde heshima hii ya kitaifa tuliyoipata; mbali na ushindi huu, pia tukumbuke ya kuwa usafi unatuhakikishia afya njema ambayo itatuwezesha kutekeleza majukumu yetu”, alisema.

Akiongea katika hafla hiyo, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Kidumo alisema kuwa ushindi huo ni heshima kubwa kwa wananchi wa Manispaa ya Moshi na anwapongeza kwa  mchango wanaotoa  linapokuja swala la usafi wa mazingira.

“Nichukue fursa hii pia kutoa pongezi zangu kwa wale wote ambao wanafanya kazi kubwa kwenye magari ya kuzolea taka ambao hatuko

nao hapa kwenye hafla hii; mchango wao ni mkubwa sana linapokuja swala la kuufanya Manispaa ya Moshi kuwa msafi”, alisema.

Awali Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi Bi Mwajuma Nasombe alisema kuwa mafanikio hayo yametokana na mikakati ambayo Manispaa  imeweka ambayo inalenga kuhakikisha Manispaa inakuwa Safi kipindi chote cha mwaka.

Mikakati hiyo ni pamoja na kuongeza magari ya kuzolea taka ili kuhakikisha ufanisi katika huduma za kuzoa taka, utenganishaji taka, ubunifu wa michakato ya kuchakata taka pamoja na kuongeza uelewa kwa wakazi wa Manispaa juu ya umuhimu wa kutunza Mazingira na kufanya usafi”, alisema.

Kulingana na Bi Nasombe, Manispaa ya Moshi imenunua gari jipya la kuzoa taka ambalo alisema litaongeza ufanisi katiak shughuli za kukusanya taka mjini Moshi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi