• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Miradi inayoendelea

1.0 UTANGULIZI

Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini ulianza Mwezi Julai, 2015 ambapo jumla ya Kaya 2691 zilitambuliwa na kuthibitishwa na mikutano ya wananchi wa mitaa husika. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi inatekeleza kipengele kimoja cha mpango ambacho ni Uhawilishaji wa Fedha. Kaya 2691 zilianza uhawilishaji wa fedha kipindi cha Julai, 2015 hadi sasa jumla ya kaya 1490 zimesalia baada ya kaya zingine kuondolewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo vifo na kuhama kwa walengwa.

2.0 UHAWILISHAJI WA FEDHA KWA KAYA MASKINI.

Manispaa ya Moshi kupitia TASAF awamu ya tatu  imepokea jumla ya kiasi cha fedha 1,370,868,022.94  katika kipengele cha uhawilishaji fedha kimefanyika kwa mizunguko 15 na jumla ya TZS 1,223,577,977.27 zimeawilishwa kwa walengwa waliopo katika mpango kwa mitaa 35. Kiasi kilichobaki ni kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za Mpango.

3.0 MAFANIKIO

Kuboreka kwa lishe kutoka lishe duni kwenda lishe bora na idadi ya milo toka mmoja hadi mitatu na zaidi kwa Kaya.

Kuongezeka kwa mahudhurio ya wanafunzi shuleni na Mahudhurio ya watoto Kliniki kutokana na ruzuku ya utimizaji wa masharti ya elimu na afya

Kaya Maskini kuchangia na kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (TIKA), CHF jumla ya kaya 649.

Walengwa 673 wanajishughulisha na biashara ndogondogo, walengwa 309 wanajishughulisha na kilimo, 256 wanajishughulisha na ufugaji na walengwa 163 wamejiunga na vikundi vya kuweka na kukopa.

Walengwa kupata elimu kupitia maafisa ugani inayohusiana na Kilimo,ufugaji na Lishe katika kila dirisha la Malipo.

4.0 CHANGAMOTO

Baadhi ya wazazi kutaja majina ya watoto ambayo hayatumiki shuleni hivyo kusababisha usumbufu kwa ujazaji wa fomu za utimizaji wa masharti ya elimu na afya.

Kukosekana kwa mtandao baadhi ya muda kunapelekea kuchelewa kwa malipo ya walengwa.

Malalamiko ya wananchi wanaotaka kuwemo katika mpango ili waweze kunufaika na mpango.

5.0 MIKAKATI YA KUTATUA CHANGAMOTO

 

Wazazi wameelimishwa kutoa taarifa sahihi ili kusaidia kurekebisha taarifa za watoto na kufanikisha lengo la utimizaji wa masharti ya afya na elimu.

Mawasiliano na Mtaalam wa mifumo ngazi ya Halmashauri,Mkoa na TAMISEMI ili kutatua tatizo la mtandao.

Mawasiliano na TASAF Makao Makuu ili waweze kufanya zoezi la utambuzi upya kwa kaya ambazo hazipo katika mpango.

Matangazo

  • WALIOCHAGULIWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI SHULE YA SEKONDARI MAWENZI July 27, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • WANANCHI WA KATA YA MSARANGA WAMPONGEZA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUWAJENGEA SHULE YA SEKONDARI

    February 22, 2023
  • ZAIDI YA BILIONI 50.1 KUTUMIKA MANISPAA YA MOSHI 2023/2024

    February 14, 2023
  • MKUU WA WILAYA AWAPONGEZA WALIMU WA MANISPAA YA MOSHI

    January 10, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA MOSHI AUPONGEZA UONGOZI WA MANISPAA KWA KUTOA MIKOPO YA SHS. 367,550,000.

    November 10, 2022
  • Tazama

video

LISHE KUWA AJENDA YA KUDUMU MANISPAA YA MOSHI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi