• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

HAFLA YA KUSAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA NA MITARO YA MAJI YA MVUA

Posted on: September 27th, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi leo tarehe 27 Septemba 2025 imesaini mkataba wa ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 13.2 na ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua yenye urefu wa kilomita 3.9.

Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Bi. Mwajuma Nasombe, kwa niaba ya Halmashauri, na Mkandarasi Hari Singh and Son Limited, kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 22. Fedha hizo zinatolewa na Benki ya Dunia kupitia mradi wa TACTIC.

Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Michezo wa Shule ya Msingi Msaranga, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu, alikuwa mgeni rasmi.

Akihutubia katika hafla hiyo, Mhe. Babu amemtaka mkandarasi kuhakikisha anatekeleza mradi huo kwa haraka na kwa viwango vya ubora vinavyotakiwa ili kuwanufaisha wananchi wa Moshi.

Barabara zitakazojengwa zinapita katika kata za Ng’ambo, Msaranga, Mjimpya, Miembeni, Njoro, Kaloleni, Pasua, Shirimatunda na Karanga. Aidha, mifereji ya maji ya mvua itajengwa katika kata za Mfumuni, Kilimanjaro, Kiusa na Korongoni.

Akizungumza awali, Bi. Nasombe alisema mradi huo unalenga kuboresha miundombinu ya usafirishaji na kupunguza changamoto za mafuriko katika maeneo ya Manispaa ya Moshi. Aliongeza kuwa utekelezaji wake utasaidia kuinua maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi.

Kwa upande wake, Mkandarasi Hari Singh and Son LTD ameahidi kukamilisha mradi huo kwa wakati na kwa viwango vinavyokubalika ili kuendana na matarajio ya wananchi na wadau wa maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI June 09, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • HAFLA YA KUSAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA NA MITARO YA MAJI YA MVUA

    September 27, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAFUNDWA

    August 04, 2025
  • RC BABU AIPONGEZA MANISPAA YA MOSHI

    July 15, 2025
  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • Tazama

video

MAFANIKIO YA MIAKA 5 YA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA MOSHI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi