• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Pre and Primary Education

MAJUKUMU YA IDARA.

  • Kusimamia uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la Kwanza na Awali
  • Kuendesha usajili wa watahiniwa wa mtihani wa kumaliza Elimu ya msingi na mtihani wadarasa la IV
  • Kusimamia uendeshaji wa taaluma shuleni kwa kuangalia
  • Tendozima la ujifunzajinaufundishaji
  • Upatikanaji na utumiaji bora wa zana za kujifunzia na kufundishia
  • Mahudhurio ya wanafunzi na walimu
  • Upimaji uliosahihi wa ujifunzaji wa wanafunzi

Majukumu

  • Kuratibu shughuli za Elimu ya watu wazima (MUKEJA, MEMKWA, S/KIMU na UFUNDI STADI)
  • Kuratibu na kusimami aElimu maalum.
  • Kupokea na kuzifanyia kazi taarifa za ukaguzi
  • Kurekebishaikamayawalimu
  • Kushughulikia likizo za walimu
  • Kusimamia upatikanaji na utumiaji wa miundombinu ya shule
  • Kuratibu na kusimamia mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa walimu
  • Kusimamia uendeshaji wa mitihani ya kumaliza Elimu ya msingi naya darasa la nne na ufundi
  • Kusimamia uendeshaji wa michezo mbalimbali shuleni (UMITASHUMTA)
  • Kuratibu na kusimamia matumizi ya fedha za ruzuku ya uendeshaji
  • Kusimamia utekelezaji wa miongozo mbalimbali ya kielimu
  • Kusimamia ukusanyaji, uhifadhi na utoaji wa takwimu sahihi za kielimu kwa kutumia mfumo wa BEMIS
  • Kusimamia utoajiwa Elimu kwa kusisitiza umahiri wa kujuwa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa kuzingatia utumiaji wa

         zana bora zakujifunzia na kufundishia. Mfano Kompyuta Mpakato (Laptop) na ufundishaji kwa kutumia Power Point kwa madarasa ya I na II

  •  Kuhakikisha wanafunzi wote kuanzia Awali na Msingi wanakalia madawati wakati wa masomo ya darasani. 

Manispaa ya Moshi ina jumla ya shule 50 zikiwemo 35 za Serikali na 15 zisizo za Serikali. Katika Shule za Msingi kuna Shule 5 zenye Vitengo Maalumu kwa wanafunzi wenye ulemavu wa akili na wasioona na 1 ya viziwi.

Elimu ya Awali

Manispaa ya Moshi ina jumla ya shule 51 za elimu ya awali zikiwemo 35 za Serikali na 16 zisizo za Serikali.


Matangazo

  • WALIOCHAGULIWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI SHULE YA SEKONDARI MAWENZI July 27, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • WANANCHI WA KATA YA MSARANGA WAMPONGEZA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUWAJENGEA SHULE YA SEKONDARI

    February 22, 2023
  • ZAIDI YA BILIONI 50.1 KUTUMIKA MANISPAA YA MOSHI 2023/2024

    February 14, 2023
  • MKUU WA WILAYA AWAPONGEZA WALIMU WA MANISPAA YA MOSHI

    January 10, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA MOSHI AUPONGEZA UONGOZI WA MANISPAA KWA KUTOA MIKOPO YA SHS. 367,550,000.

    November 10, 2022
  • Tazama

video

LISHE KUWA AJENDA YA KUDUMU MANISPAA YA MOSHI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi