• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Huduma za Afya

TIBA:

•Tunafanya uchunguzi/vipimo mbalimbali vya magonjwa.

•Tunagundua magonjwa yanayoathiri jamii.

•Tunatoa matibabu magonjwa utoaji dawa, uzalishaji, upasuaji na mazoezi.

•Tunahakikisha madawa, vifaa tiba, vitendanishi vinapatikana kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya.

•Tunasimamia ubora wa huduma zitolewazo Manispaa.

•Tunatathmini matokeo ya huduma mbalimbali.

•Tunatafiti magonjwa mbalimbali yaliyo katika eneo letu.

•Tunasimamia sera viwango na miongozo mbalimbali ya matibabu.

•Tunatoa mafunzo kwa watoa huduma za tiba na kuwapatia vitendea kazi.

•Tunatoa matibabu kwa magonjwa ya akili, uzazi, upasuaji, watoto, na magonjwa ya watu wazima ya kawaida, Tiba ya meno, macho nk.

•Tunasimamia matibabu katika kliniki mbalimbali kama ukimwi, kifua kikuu.

•Tunatoa huduma za kiuuguzi (Nursing care) kwa wagonjwa waliolazwa nk.

•Tunasimamia tiba asili na mbadala.

Kinga:

•Tunatoa elimu ya Afya kuhusu kinga kwa ajili ya magonjwa mbalimbali ya kuambukiza na yasiyoambukiza.

•Tunatoa chanjo mbalimbali hasa kwa watoto chini ya miaka 5.

•Tunadhibiti magonjwa mbalimbali ya mlipuko kama Kipindupindu, Ebola, Dengue fever na magonjwa mengine ya kuharisha malaria nk.

•Tunasimamia usafi wa mazingira hasa vyoo na matumizi yake, usafi na usalama wa maji na usafi binafsi.

•Tunafanya ukaguzi, na usimamizi wa shughuli za kinga wa vyakula mbalimbali.

•Tunashirikiana na kitengo cha Afya ya uzazi na mtoto (RCH) katika utoaji wa huduma.

•Tunatoa elimu za afya mashuleni,kazini na kwenye jamii

•Tunakagua ramani za majengo na majengo

•Tunatoa dawa kwa magonjwa yasiopewa kipaumbele(NTDs)

•Tunasimamia sheria za Afya.

oThe Tanzania Food, Drugs and Cosmetics Act 2003.

oThe Public Health Act 2006

oLocal govt (Urban Authorities Act 1982)

oInternational Notifiable Diseases (Prevention) Act 1964 (Act No. 3 of 1964)

oEnvironmental management Act, 2004

oSheria ndogo ya Manispa ya Moshi ya mwaka 2006

•Tunakagua na kuchukua sampuli za maji safi ili kulinda ubora na usalama wake.

•Tunakagua maeneo ya kazi ili kuona kwamba afya mahali pa kazi inazingatiwa.

•Tukagua na kushauri juu ya udhibiti wa taka ngumu pamoja na taka miminika.

•Tunakusanya takwimu za magonjwa ya kuambukiza.

•Tunaendesha mashtaka mahakamani kwa wavunja sheria za Afya.

Lishe:

•Tunatoa elimu na kuhamasisha kuhusu lishe bora na ulaji unaofaa kwa jamii.

•Tunaendesha kampeni ya vitamin A na kutoa dawa za minyoo kwa watoto chini ya miaka 5 ambayo hufanyika mara 2 kwa mwaka (Juni na Desemba).

•Tunaendesha upimaji wa Afya za jamii kwa kuchukua uzito na urefu, uzito kwa umri na kupima mzunguko wa mkono.

•Tunatoa huduma za masuala ya lishe katika kliniki za CTC na kisukari

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi