• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

Posted on: February 7th, 2025

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kwa kauli moja limepitisha mpango na bajeti ya mwaka wa fedha wa 2025/2026 kwa jumla ya Tshs 53,277,410,316.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Mhandisi Zuberi Kidumo, alitangaza bajeti hiyo , wakati akifunga kikao cha Baraza la Madiwani kilichoketi kujadili na kuidhinisha mapendekezo ya bajeti na kueleza kuwa kwa mwaka wa fedha 2025/2026 mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa Shs 9,970,000,000, Matumizi ya kawaida ruzuku ya uendeshaji (OC) ni Shs 1,297,519,000, Miradi ya Maendeleo ni Shs 9,8177,880,316 na kwa upande wa Mishahara inatarajiwa kuwa Shs 32,192,020,000 hivyo kufanya jumla ya Bajeti ya Manispaa ya Moshi kuwa Shs 53,277,410,316.

Awali kabla ya kuwasilisha Bajeti hiyo Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi Bi Mwajuma Nasombe  alieleza  kuwa  Bajeti hii ya  mwaka wa fedha 2025/2026  ni Bajeti ya Kimkakati na imezingatia katika Ujenzi wa  miradi mikubwa Mitatu kwa ajili ya kuongeza Mapato na kukuza Uchumi wa Manispaa ya Moshi.

“Muheshimiwa Mstahiki Meya napenda kulijulisha Baraza lako kuwa Bajeti ya Mwaka huu tumezingatia miradi mikubwa ya uwekezaji kama vile Ujenzi wa vibanda vya maduka, ukumbi wa mikutano na Ujenzi wa uwanja wa michezo wa Majengo ambavyo vyote hivyo vitatuongezea mapato ya ndani” Alisema Nasombe

Akiwasilisha bajeti hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Ufuatilia Bi Monica Sana alisema  kuwa uundaji wa bajeti ya Manispaa ya Moshi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 umezingatia vipaumbele ya Manispaa ambavyo ni kukamilisha miradi viporo,kuboresha ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya na kujenga miradi ya kimkakati ya kuongeza mapato ya ndani.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi