• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

WAJUMBE WA KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI WARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: July 18th, 2023

Wajumbe wa Kamati ya Fedha wa Kamati ya Fedha na Uongozi Halmshauri ya Manispaa ya Moshi leo tarehe 18/07/2023 wamekagua miradi 4 ya ujenzi yenye thamani ya Tsh. 1.657 fedha kutoka Serikali Kuu.

Miradi hiyo ni Ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi katika Kata ya Pasua, Ujenzi wa Miundombinu Shule ya Sekondari Moshi, Ukarabati wa Miundombinu ya Shule kongwe ya Msingi Muungano na Ujenzi wa Ukuta na Ukarabati wa Jengo la Halmashauri ya Ofisi za Halmashauri. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Mhandisi Zuberi ameridhishwa na utekezwaaji wa mradi hiyo na amewapongeza watalam wa Halmashauri kwa usimamizi wa mradi hiyo na kuwataka kufanyia kazi ushauri uliotolewa na madiwani.

Naye Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini Mhe Priscus Tarimo kwa niaba ya Wananchi wa Jimbo la Moshi Mjini ameishukuru Serikali Awamu ya Sita inayoongozwa na Dr. Samia Suluhi Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuleta Fedha za miradi ya Maendeleo.

"Tunaishukuru sana Serikali kwa kutuletea fedha za miradi na tunahakika miradi hii itapokamilika itaboresha mazingira ya ufundishaji pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi wa Halmashuri ya Manispaa ya Moshi" Alisema Mhe Tarimo

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi