• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

VIKUNDI 38 VYA WANAWAKE NA VIJANA VYAPATIWA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 189

Posted on: March 1st, 2018

Halmashauri  ya Manispaa ya Moshi ,  imetoa  mkopo

wa Shilingi  Milioni189, kwa vikundi 38 vya wanawake  na vijana,lengo

likiwa nikuwawezesha kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo na

kujikwamua kiuchumi.

Mbali na mikop hiyo, pia imetoa vitambulisho maalumu vya matibabu bure

kwa wazee 1,000, hatua ambayo itawawezesha kupata matibabu bure katika

vituo vya afya na Hospitali ya Wilaya.

Akizungumza jana wakati wa utoaji hundi  kwa vikundi hivyo na kadi za

matibabu kwa wazee, Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Michael Mwandezi,

alisema katika  mwaka wa fedha 2017/18, Halmashauri hiyo imetenga

zaidi ya  Shilingi 557.2 Milion,kutoka katika mapato yake ya ndani kwa

ajili ya vikundi vya kinamama na vijana.

Alisema mpaka sasa wameshatoa mikopo kwa vikundi 44, na saccos Moja,

ambapo awamu ya kwanza walitoa 45Mlion,kwa vikundi Viwili vya vijana

na vikundi Saba vya wanawake na kwamba Mikipo iliyotolewa ya Shilingi

189Milion,ni awamu ya Pili.


“Tunatarajia vijana na kina mama baada ya kupata fedha hizi, wanaingia

mtaani kufanya shughuli mbalimbali ambazo zitawaongezea kipato na

kujikwamua kiuchumi”


Akizungumzia Vitambulisho vya matibabu kwa wazee, Mwandezi alisema

kulingana na Takwimu zilizokusanywa katika Kata 21,Manispaa hiyo ina

jumla ya zawee 4,319 na kati ya hao 2112 ni wahitaji.


Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira, mbali na

kuupongeza uongozi wa Halmashauri hiyo kwa kutekeleza vyema mipango ya

serikali,alivitaka vikundi vyote vilivyopata mikopo, kuitumia kwa

malengo yaliyokusudiwa, ili kufanikiwa kuirejesha kwa wakati na kutoa

fursa kwa wengine kunufaika na fedha hizo.


Awali akizungumza Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Raymond Mboya,

alisema, Manispaa hiyo imekuwa ikijitahidi kutenga na kutoa fedha

kutoka katika mapato yake ya ndani kwa ajili ya vijana na kina mama,

kama wanavyoelekezwa na serikali.


Mboya aliwataka viongozi wa vikundi vilivyonufaika na mikopo hiyo,

kusimamia kwa uaminifu, ili kuwezesha kurejeshwa kwa wakati, na

kuwasaidia wengi zaidi na kufanikisha jitihada za kujikwamua kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi