• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

USIMAMIZI NA UWAJIBIKAJI WAIBEBA MANISPAA YA MOSHI KATIKA MIRADI YA BARABARA

Posted on: August 1st, 2018

Matokeo chanya katika uwajibikaji,usimimamizi mzuri na uwazi kwa serikali ya awamu ya tano, umeiwezesha Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kutekeleza mradi mikubwa ya ujenzi wa barabara za lami na madaraja, iliyogharimu zaidi ya Sh. Bilioni 29.82 zilizotolewa na Serikali kuu.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabaraba,madaraja na vivuko  Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Moshi Michael Mwandezi, Alisema kuwa katika kipindi kisichozidi miaka mitatu kuanzia mwaka 2015 hadi 2018, Manispaa hiyo imetengeneza jumla ya kilomita 29.3 za barabara za kiwango cha lami, madaraja mawili na vivuko vinne.

“Katika utawala wa serikali ya awamu ya tano, chini ya Rais Dk.John Magufuli tumejenga barabara zenye urefu wa kilomita 13.2 kwa fedha zilizotokana na Mfuko wa Barabara na kilomita 16.575 kwa fedha za Mradi wa ULGSP, ambao ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Benki ya Dunia,”alisema Mwandezi.

ULSGP ni Mradi wa Uimarishaji Halmashauri za Miji katika Utoaji wa Huduma unaosimamiwa na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaopo Halmashauri huwa inapata miradi hii baada ya kukizi vigezo mbalimbali vya ukusanyaji wa mapato na uendeshaji wa Halamshauri kwa uwazi na ushitikishwaji wa wananchi katika kupanga na kuibua miradi ya maendeleo.

Alisema kati ya fedha hizo, Sh. Bilioni 24,382,290,527.72 zimetokana na Mradi huo wa ULGSP na Sh. Bilioni 5,434,705,202.7 zimetokana na Mfuko wa Barabara.

Aidha katika taarifa yake, Mwandezi alisema kwa mwaka wa fedha 2018/2019, serikali imetenga fedha Sh. Bilioni 2,715,890,000 kutoka Mfuko wa Barabara kwa ajili ya matengenezo ya barabara na madaraja kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA).

Kwa mujibu wa Mwandezi, Manispaa ya Moshi kwa sasa inaendelea na ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 0.4 ambazo zinatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Agosti mwaka huu.

Alisema pamoja na miradi hiyo ya barabara, pia, Manispaa hiyo imeshapokea fedha kwa ajili ya ujenzi wa dampo la kisasa, ambalo ujenzi wake unatarajiwa kuanza rasmi mwezi Septemba mwaka huu, baada ya kukamilika kwa kazi ya kuandaa michoro na kupata cheti cha mazingira.

Kutokana na mafanikio hayo, serikali imeitengea tena Manispaa ya Moshi kiasi cha Sh. Bilioni 2,373,026,999 kwa ajili ya ukamilishaji wa ujenzi wa dampo, uwekaji taa za barabarani na ujenzi wa barabara kupitia mradi wa ULGSP.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi