• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

UBORESHAJI WA DAMPO MANISPAA KUANZA

Posted on: May 27th, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi imesaini mkataba na kampuni ya ukandarasi ya Rocktrotinic Ltd. ya Mjini Moshi kwa ajili ukarabati na uboreshaji wa dampo la kutupia taka ngumu utakaogharimu kiasi tsh billion 2.

Akizungumza mara baada ya kusaini mkataba huo Mkuu wa Idara ya usafi na Mazingira Danford Kamenya alisema kuwa uboreshaji wa dampo hilo utafanyika katika eneo la Mtakuja na uboreshaji huo utakuwa ni kujenga eneo na kuzikia taka ngumu,kujenga uzio na kujenga ofisi ya Meneja wa Dampo.

 Hata hivyo Kamenya  alisema kuwa mradi huo wa uboreshaji wa dampo utafanyika kwa muda wa miezi sita na utasaidia utupaji wa taka ngumu kwa njia ya kisasa kwa taka hizo zitakuwa zikiwekwa kwenye shimo hilo na kisha kufukiwa kwa udongo na kushindiliwa mara kwa mara.

Kwa upande wake Mstahiki  Meya wa manispaa ya Moshi Rayamod Mboya alisema kuwa uboreshaji wa dampo hilo utasaidia kuboresha usafi wa mazingira katika manispaa ya Moshi kwani kwa muda mrefu dampo hilo lilikuwa katika hali isiyoridhisha kabisa.

“Tanategemea uboreshaji wa dampo hili utasaidia sana Manispaa kuendelea kuongoza katika usafi wa mazingira kwani sasa itakuwa inatupa taka zake kwenye sehemu inayokidhi viwango vya usafi na utunzaji wa Mazingira.”Alisema  Meya Mboya.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi