• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

TUMEDHAMIRIA KUBORESHA USAFI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Posted on: June 5th, 2018

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi , imenunua Kijiko(Excavotor)kwa ajili ya kufanya kazi za kushindilia na kusambaza taka ngumu katika Dampo lake kuhakikisha linakuwa katika hali ya ubora na kuboresha shughuli za usafi wa mazingira ili kuiwezesha manispaa kuendelea kung’ara kiusafi ,Kitaifa na kimataifa.

Manispaa  Moshi  huzalisha tani 230 za takataka kwa siku, na kwa sasa ipo katika mpango wa  kujenga dampo la kisasa kwa kutumia fedha za benki ya Dunia.Vile vile katika mwaka huu wa fedha Manispaa ya Moshi inatarajia kununua magari matatu mapya ya taka hivyo kuongeza idadi ya magari ya kuzolea taka kutoka Matano yaliyopo sasa hadi kufikia Nane.

Akizungumza   wakati wa uzinduzi wa Excavator hiyo, Mkuu wa idara ya usafi na Mazingira Danford Kamenya, alisema  tumenunua kijiko hicho kwa Shilingi 300milion kutoka katika mapato yao ya ndani na kwamba kitasaidia kuboresha maeneo ya Dampo na kuwezesha kanuni za afya na usafi wa mazingira kuzingatiwa.

“Halmashauri imenunua mtambo huu mahususi katika kuhakikisha Dampo linakauwa katika hali nzuri na kazi hii itakuwa endelevu, kwani tumepata changamoto kubwa wakati wa mvua,na tuna mkakati mkubwa wa kuboresha shughuli za udhibiti wa taka ngumu kwa kuongeza idadi ya magari kutoka matano yaliyopo kwa sasa hadi kufikia nane”alisema

Kamenya.

Alisema magari watakayonunuliwa yatagharimu shilingi 600milion,na yataongeza uwezo wa uzoaji taka kutoka Tani 168 zinazozolewa kwa siku hadi kufikia tani 230, na kufanya mji kuendelea kuwa katika hali ya usafi wakati wote.

Akizungumzia ujenzi wa Dampo mpya, Kamenya alisema,katika eneo  ambalo tutajenga  Dampo pia tanatarajia kujenga kiwanda cha  kuchakata

takataka na kuzalisha mbolea ambacho k

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi