• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

TASAF YAZIDI KUWAINUA WAKAZI WA MANISPAA

Posted on: October 20th, 2022

Mwajabu Iddi Songwe (55), ni mkazi wa Mtaa wa Sokoni Kata ya Bomambuzi, ambaye anaishi na wajukuu watano, ambapo wanne wanasoma shule ya msingi huku mmoja akisoma shule ya msingi.

Bi mwajabu ni mnufaika wa mradi wa TASAF ambapo anapokea tsh 72,000 ambayo imemuwezesha kuwasomesha wajukuu zake watano kwa kuwalipia ada kwani walikuwa ni tegemezi kwake.

“Kabla ya kuingia kwenye mradi huu wa TASAF nilipitia katika kipindi kigumu kuweza kuwalipia wajukuu zangu ada pamoja na sare za shule, lakini fedha ambazo nimekuwa nikizipata zimekuwa msaada mkubwa kwa wajukuu zangu kuweza kupata elimu na kupunguza ugumu wa maisha”Anaeleza Bi Mwajabu.

Anasema Fedha hizo hakuishia kulipa ada pekee pia amejiunga kwenye vikoba na pia amefungua biashara ya genge ambayo anauza samaki, na nyanya,hoho na karoti na vitunguu ambayo inamuewesha kupata fedha ya kuhudumia familia.

“Matarajio yangu ni kukopa na kukuza zaidi biashara yangu ya genge ili kuwa na mtaji mkubwa na kuuza bidhaa mbalmbali ambayo itaniwezesha kupata fedha za kununua kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba kwani kwa sasa naishi kwenye nyumba ya kupanga hivyo nalazimika kulipa kodi”Anasema Mwajuma.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA YA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI KWA KIPINDI CHA MWAKA 2023 HADI 2026 May 18, 2023
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • WANANCHI WA KATA YA MSARANGA WAMPONGEZA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUWAJENGEA SHULE YA SEKONDARI

    February 22, 2023
  • ZAIDI YA BILIONI 50.1 KUTUMIKA MANISPAA YA MOSHI 2023/2024

    February 14, 2023
  • MKUU WA WILAYA AWAPONGEZA WALIMU WA MANISPAA YA MOSHI

    January 10, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA MOSHI AUPONGEZA UONGOZI WA MANISPAA KWA KUTOA MIKOPO YA SHS. 367,550,000.

    November 10, 2022
  • Tazama

video

LISHE KUWA AJENDA YA KUDUMU MANISPAA YA MOSHI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi