• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

SAKATA LA WIZI TAA ZA BARABARANI MEYA MOSHI AHAIDI DONGE NONO

Posted on: December 7th, 2020

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Mh. Juma Raibu ameahidi kutoa donge nono kwa Mwananchi yeyote atakayefichua au kusaidia kukamatwa kwa wahalifu wanaoharibu na wanaoiba nyaya na betri za taa za barabarani zinazotumia umeme wa jua(Solor) kwenye barabara za manispaa ya Moshi.

Akizungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la madiwani Mstahiki Meya alisema kuna baadhi ya watu wasiopenda maendeleo ya Manispaa ya Moshi wamekuwa wakihujumu miundo mbinu ya taa za barabarani  hasa kwenye barabara ya Sukari, Bonite  na barabara ya Tembo iliyopo kata ya Bomambuzi.

“Tunaomba sana vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na Madiwani wetu kuhakikisha wale wote wanaoharibu na kuiba miundo mbinu ya taa za barabarani wakamatwe haraka na kufunguliwa kesi za hujumu uchumi kwani serikani imetoa fedha nyingi kugharamia miundo mbinu hii kwa manufaa ya wakazi wa Manispaa ya Moshi”Alisema Mh. Juma Raibu

Mstahiki Meya aliongeza kuwa katika uongozi wake atapambana usiku na mchana na kikundi hicho cha watu kinachoiba  miundo mbinu ya taa za barabarani  kisichokuwa  nia njema kwa wakazi wa Manispaa ya Moshi .Mradi huu wa taa za barabarani umekuwa na mchango mkubwa katika usalama wa wananchi kwa kupunguza uhalifu hasa nyakati za usiku hivyo anawataka wahalifu hao kuacha tabia hiyo mara moja .

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi