• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

PIKIPIKI MPYA 21 ZAKABIDHIWA KWA WARATIBU WA ELIMU KATA

Posted on: September 4th, 2018

Halmashauri ya manispaa ya moshi imekabidhi pikipiki 21 kwa waratibu wa elimu wa kata 21 za manispaa ya Moshi kwa ajili ya kuboresha sekta ya elimu na kuwataka waratibu hao kuzitumia kwa malengo yaliyokusudiwa.

Pikipiki hizo zimekabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Kipi Warioba  leo tarehe 4 septemba katika Bohari ya manispaa ya Moshi kwa lengo la kuwasaidia waratibu wa elimu katika kuendesha na kuratibu shughuli za kielimu.  

Akizungumza kabla ya kukabidhi pikipiki hizo alisema kuwa anauzoefu na baadhi ya watendaji kupewa vitendea kazi na serikali hasa pikipiki kuziweka nyumbani na kuzifanyia bodaboda  badala ya kutumia kwa malengo yaliyokusudiwa.

“Nawataka waratibu wote kutumia pikipiki hizi kwa ajili ya kuboresha elimu kwa kukagua shule zetu na kufuatilia maendeledo ya elimu katika shule zetu za msingi na sekondari” alisema Warioba.


Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya manispaa ya moshi Ndg. Michael Mwandezi alisema hizi  pikipiki  zimetolewa na serikali ya awamu ya tano ili kuhakikisha kuwa elimu inaboreshwa kwa wanafunzi wote wanajua   kusoma, kuandika na kuhesabu(KKK).

 “Serikali ya awamu ya tano imeamuwa kuweka nguvu nyingi  kwaajili ya ufatiliaji na uratibu wa shughuli zote za kielimu ndio maana imeboresha utendaji kazi kwa kuwapatia vifaa”Alisema Mwandezi

Akishukuru kwa niaba ya waratibu wa elimu kata  mratibu wa elimu Kata ya Miembeni Mwl.Godfrey Shirima  aliipongeza  serikali ya awamu ya tano ya Dr. John Pombe Magufuli kwa kuwajali na kuwapatia pikipiki hizo.

“Tunakuhakikishia Mh Mkuu wa Wilaya kuwa tutazitumia pikipiki hizi vizuri  kwa shughuli za kielimu na tuhahidi  kuwa  ufaulu utaongezeka katika manispaa ya Moshi na kuwa ya kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba”. Alisema Shirima.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi