• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MUHTASARI WA TAARIFA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KATIKA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

Posted on: June 30th, 2022

MUHTASARI WA TAARIFA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KATIKA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

UTANGULIZI

Makadirio ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 yameandaliwa kwa kuzingatia Hali halisi ya mapato na matumizi katika bajeti ya mwaka 2020/2021, Mapitio ya mwenendo wa  mapato na matumizi katika bajeti  ya mwaka 2021/2022  hadi kufikia mwezi Desemba 2021. Aidha,Mpango huu umezingatia Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Mwaka 2022/2023, Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Manispaa, Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020 hadi 2025, Vipaumbele vya Serikali na Manispaa    kwa ujumla.

Vipaumbele vya Manispaa ya Moshi katika bajeti ya mwaka 2022/2023 ni:

  • Kuibua vyanzo vipya na kuboresha ukusanyaji wa mapato

Halmashauri imeongeza Bajeti ya mapato ya ndani kutoka Tsh. 6,432,335,999.56  Mwaka 2021/2022  hadi kufikia Tsh. 8,544,452,000.00 Mwaka 2022/2023. Kati ya fedha hizo Tsh.              5,882,353,121.00 ni mapato halisi na Tsh. 2,662,098,879.00 ni mapato Fungiwa. Ongezeko hilo limetokana  na:

  • Vyanzo vipya vya mapato:  (Ujenzi wa kiwanda cha mbolea ya Mboji na  ununuzi wa Mashine ya kukoboa Mpunga na na ujenzi wa Ghala la kuhifadhia mpunga).
  •  Kuongezeka kwa kiwango kwa baadhi ya vyanzo vilivyopo.
  • Kuingizwa kwa fedha za Marejesho ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika bajeti.
  • Usafi wa Mazingira
  • Manispaa ya Moshi imedhamiria kuendelea kuboresha Usafi katika Mji wa Moshi kwa kutenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya ununuzi wa vifaa, matengenezo ya mitambo na magari ya usafi.
  • Ukamilishaji wa miradi viporo
  • Manispaa imetenga fedha kwa ajili ya ukamilishaji wa miradi viporo ikiwemo madarasa na nyumba za walimu.
  • Kuboresha miundombinu katika vituo vya kutolea huduma za jamii 
  • Manispaa imetenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya Shule, Afya na Ofisi za Kata ili kutoa huduma bora kwa Jamii.
  • Kujenga uwezo kwa Vikundi vya kiuchumi
  • Manispaa imetenga fedha 10% ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuwezesha vikundi vya kiuchumi vya Wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.
  •  Kulipa madeni ya Serikali na Wazabuni
  • Manispaa imetenga fedha kwa ajili ya kulipa kodi ya ardhi kwa majengo ya Serikali, na kulipa madeni ya wazabuni.

2.0 MAKADIRIO YA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

Mheshimiwa Mwenyekiti, Katika Mwaka wa fedha 2022/2023, Halmashauri ya Manispaa ya Moshi inatarajia kukusanya na kupokea Jumla ya Tshs. 51,093,185,000 kutokana na fedha za Mapato ya ndani, Matumizi mengineyo, Miradi ya Maendeleo na  Mishahara kama inyoonekana katika Jedwali.

Jedwali: Makadirio ya Bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023


ITEM

A:
MAPATO YA NDANI


Mapato halisi

5,882,353,121.00


Mapato Fungiwa

2,662,098,879.00


Jumla mapato ya Ndani

8,544,452,000.00

B:
MATUMIZI MENGINEYO (OC)


Ruzuku ya uendeshaji - Elimu

83,811,000


Usafiri likizoni - Elimu

200,200,000


Uhamisho - Elimu

121,000,000


Kilimo na Mifugo

34,902,000


Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe

149,831,000


Miundombinu

24,133,000


Utawala

129,532,000


Jumla OC

743,409,000

C:
MISHAHARA


Mishahara

32,012,839,000

D
FEDHA ZA  MIRADI YA MAENDELEO

Fedha za Ndani


Ruzuku ya uendeshaji

309,634,000


Chakula Kutwa na bweni

1,434,645,000


Posho Waratibu, walimu wakuu na wakuu wa shule

189,000,000


Mitihani

542,377,000


Fidia ya Ada Kutwa na bweni

259,710,000


Ujenzi wa jengo la Utawala

1,000,000,000


Mradi Mkakati

2,000,000,000


Mfuko wa Jimbo

62,524,000


Ununuzi wa Vifaa Tiba  Kwa Zahanati

50,000,000


Ununuzi wa Vifaa Tiba  Kwa Vituo vya Afya

150,000,000


Ukamilishaji wa Hospitali za Wilaya

500,000,000


Ukamilishaji  wa Zahanati

50,000,000


Ujenzi wa Madarasa Shule Kongwe za Msingi

180,000,000


Ukamilishaji wa Madarasa Shule za Msingi

50,000,000


Jumla  ndogo fedha za Ndani

6,777,890,000


Fedha za Nje


Mfuko wa Pamoja wa Afya (HSBF)

256,396,000


Mfuko wa Jamii (TASAF)

632,160,000


Mradi wa Watoto chini ya miaka 5 (U5BRI)

10,000,000


EGPAF (5429)

140,559,000


SEQUIP

573,000,000


Boost Primary Student Learning- EP4R

1,290,000,000


Mradi wa kudhibiti Malaria

2,827,000


Mradi wa kuimarisha Afya(Health System Strengthening - GAVI)

109,653,000


Jumla ndogo Fedha za Nje

3,014,595,000


Jumla Miradi (C + D)

9,792,485,000


JUMLA KUU BAJETI (A+B+C+D)

51,093,185,000




 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi