• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MSTAHIKI MEYA AWAHAKIKISHIA MADIWANI NA WATENDAJI USHIRIKIANO

Posted on: December 4th, 2020

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya manispaa ya Moshi, Mh. Juma Raibu Juma,ameahidi kushirikiana na Madiwani wote pamoja na Watendaji wa Halmashauri katika kufanya kazi kwa bidii , weledi na kuzingatia maadili  ili  kuharakisha Maendeleo ya Manispaa ya Moshi na kutekeleza Ilani ya Uchaguzi  ya  Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2020-2025..

 Akizungumza katika kikao maalumu cha Baraza la madiwani mara baada ya kuchaguliwa  kuwa Meya  kwa ushindi wa  asilimia Mia Moja , Mh. Juma, alisema madiwani na watendaji kwa pamoja wanawajibu mkubwa wa kushirikiana kuwatetea wanyonge na kuwaletea wananchi wa Manispaa ya Moshi maendeleo.

“Leo  tumeapishwa na kuwa madiwani na tukumbuke  kuwa kwa kiapo hiki  tunalo deni kubwa kwa wananchi na wajibu wetu kama viongozi tukishirikiana  na watendaji ni kutatua kero za wakazi wa Manispaa ya Moshi hasa wanyonge I kama alivyoahidi  Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli wakati wa kampeni.”alisema Mstahiki Meya

Aidha  Mstahiki Meya  alisema Halmashauri   imedhamiria kuhakikisha inakuharakisha kutukeleza vigezo vya kuwa Jiji ili  mchakato wa Kupandisha hadhi Manispaa ya  Moshi na kuwa jiji unamalizika haraka hatua ambayo itasaidia kukuza uchumi na kuwaletea wananchi wa Moshi  maendeleo wanayotarajia.

Alisema vipaumbele vingine  vya Halmashauri ni pamoja na kuboresha miundombinu ya barabara hasa za pembezoni,kuwatengea wafanyabiashara wadogo maeneo ya kufanyia biashara, kuboresha sekta Afya kwa kujenga Hospitali ya Wilaya , kuongeza ufaulu katika elimu na kufufua michezo na kukuza vipaji.

“Tunavyo vipaumbele vingi vya kutekeleza katika kipindi hiki cha miaka mitano kwa ajili ya kuwaletea wakazi  wetu maendeleo na nitahakikisha kwa kushirikana na Mh Mbunge  wetu  tunatafuta wawekezaji wa kuwekeza kwenye viwanda vipya na kufufua viwanda vilivyokufa.”alisema

Naye Mkurugenzi wa  Halmashauri ya  Manispaa  ya Moshi  Michael Mwandezi, alisema atahakikisha anatoa ushirikiano wa kutosha kwa madiwani ikiwa   pamoja na kusimamia sheria, kanuni na taratibu katika masuala mbalimbali kwa lengo la kuharakisha maendeleo kwa wakazi wa Manispaa ya Moshi.

“Hongereni kwa kuchaguliwa  kuwaongoza  wananchi wa Manispaa ya Moshi  na nina  waahidi   kuwapa ushirikiano wa kutosha kwa  kuzingatia sheria , kanuni, maadili  na miongozo mbalimbali ili kufikia malengo ya kuisadia Manispaa ya Moshi  kupiga hatua zaidi katika maendeleo”alisema Mwandezi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI June 09, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

MAFANIKIO YA MIAKA 5 YA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA MOSHI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi