• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MILLION 200 ZATOLEWA KWA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU

Posted on: February 21st, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi imetoa mikopo yenye thamani ya tsh Milioni 200 kwa vikundi 40 vya wanawake na vijana pamoja na walemavu ikiwa ni utekeleza wa agizo la serikali la ya Awamu ya Tano ya Rais  Mh. Dr. John Pombe Magufuli  la  kutenga asilimia kumi (10%) ya mapato ya ndani kwa ajili ya kutoa mikopo kwa Wanawake,Vijana na Walemavu.

Akikabidhi mikopo hiyo Mkuu wa Wilaya ya Moshi Kippi Warioba amewataka kinamama, vijana pamoja na walemavu kuzitumia fedha hizo kwa shughuli zilizokusudiwa na  kuhakikisha wanarejesha mikopo hiyo ili Halmashauri iweze kukopesha vikundi vingine.

Warioba amewataka wajasiriamali waliokopeshwa fedha hizo kurejesha kulingana na taratibu walizowekewa ili kuweza kuitumia fursa hiyo kukopa kwa awamu nyingine na kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwao pamoja na Taifa kwa ujumla.

Awali, Mkuu wa Idara Maendeleo ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii Bi. Rose Minja alisema  kutolewa kwa mikopo hiyo kunaifanya manispaa ya moshi iwe imetoa mikopo ya jumla ya shs.534mi/= kwa vikundi 104 kwa miaka miwili baada ya mwaka jana kutoa mkopo wa shs. 334mil/= kwa vikundi 64.

“Mpaka sasa vikundi ambavyo tumevipatia mikopo vinarejesha kwa asilia kubwa ambapo licha ya uhamasishaji tunaofanya bado kuna idadi ndogo ya vijana na walemavu wanaojitokeza kwa ajili ya kuomba mikopo hiyo”Alisema Rose.

Kwa upande wake Meya wa manispaa ya Moshi Raymond Mboya alitoa wito kuwa utoawaji wa mikopo hii ufuate vigezo vilivyowekwa na kuwaomba watendaji kutoingiza siasa na aliwataka  wananchi kuweka tofauti za vyama pembeni na kuwa na umoja katika kufikia malengo mbalimbali ya kiuchumi waliyojiwekea.

Dafrosa Kimaro ambaye ni mjasiriamali kutoka kikundi cha Kirashi kilichopo Kata ya Longuo B ameishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa kuwajali na  kuwapatia mikopo  makundi yenye uhitaji maalumu kwani itawainua kiuchumi na kuondokana na utegemezi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi