• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MANISPAA YA MOSHI YAZIDI KUWAKWAMUA KIUCHIMI WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU

Posted on: November 10th, 2021


Halmashauri ya manispaa ya Moshi,imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 295 kwa vikundi 44 vikiwemo vikundi 31 vya wanawake,11 vya vijana na vikundi 2 kwa watu wenye ulemavu kwa lengo la kuwaongezea mitaji wajasiriamali na kukuza uchumi wao kwa ujumla.

Hayo yameelezwa na mkuu wa Idara Maendeleo ya Jamii   Rose Minja, wakati wa hafla ya kukabidhi mfano wa hundi ya Ths 295,955,000/= iliyofanyika katika Viwanja vya ofisi ya Kata Majengo ikiwa ni gawio la robo ya kwanza la asilimia kumi (10%) ya mapato ya ndani katika kipindi cha mwaka wa fedha  2021/2022.

Minja alisema  vikundi vilivyopewa mikopo hii isiyo na riba vinajishughulisha na uanzishaji wa viwanda vidogo kama vile ushonaji wa nguo, utengenezaji wa batiki,utengenezaji wa sabuni,utengezaji wa mvinyo na  kufanya biashara ndogo ndogo.

Kwa upande wake  Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi  Juma Raibu aliwataka wanufaika wa mikopo hiyo kuhakikisha kuwa fedha wanazopewa zinakwenda kutekeleza miradi /biashara walizokusudia na wajenge tabia ya kuzirejesha kwa wakati ili  ziweze kunufaisha vikundi vingi zaidi kama inavyotarajiwa.

“Baadhi yenu mmekuwa mkipata mikopo hii mnaifanyia shughuli nyingine zisizo na tija badala kuwekeza kwenye biashara na miradi iliyokusudiwa na kusababisha kuleta usumbufu wakati wa Marejesho.Nasema hapa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi haitamvumulia mtu yoyote atakeyechezea fedha hizi na wale wote watakaoleta udanganyifu tutawakamata na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.Nyinyi leo mnanufaika na mikopo hii isiyo na riba inayotolewa na serikali mnayo nafasi kubwa ya kujikwamua kiuchumi na kuzisaidia familia zenu” Alisema Mstahiki Meya Raibu

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi