• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MANISPAA YA MOSHI YAPITISHA RASIMU YA SHERIA MPYA YA UKARABATI WA MAJENGO

Posted on: August 17th, 2022

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Moshi limepitisha rasimu ya Sheria Ndogo ya kuruhusu ukarabati wa Majengo kwenye maeneo ya biashara yaliyo katikati ya Mji (Central Business District).

Rasimu hiyo ya Sheria ya ukarabati ina lengo la kuweka uwazi wa jinsi ya kupata kibali cha ukarabati na kuondoa urasimu uliokuwepo hapo awali.

Akizungumza baada ya kupitishwa kwa rasimu hiyo Meya wa Manaispaa ya Moshi Mhandisi Zuberi Kidumo alisema sheria hii itasawasaidia wananchi ambao hawana uwezo wa kujenga ghorofa waweze kukarabati majengo yao ili yawe katika hali nzuri inayoendana na hadhi ya Manispaa ya Moshi.

“Sio siri kuna baadhi ya nyumba zilizopo katika ya Mji ni chakavu na wanaoishi kwenye nyumba hizo kwa sasa   hawana uwezo wa kujenga ghorofa hivyo Halmashauri imeona kuna umuhimu wa kupitisha sheria hii ili kuwasaidia waweze kufanya ukarabati na kukaa mahali pazuri na salama”Alisema Mhandisi Zuberi

Sheria hii pia itasaidia Manispaa ya Moshi kuongeza mapato kwani kuna viwango mbalimbali vimewekwa kama ada ya kibali cha ukarabati mjini.

Naye Mwanasheria wa Manispaa ya Manispaa ya Moshi,Sifael Kulanga alisema rasimu hii ya Sheria ndogo ni ya ukarabati wa Majengo katika ya Mji na haijafuta Sheria na utaratibu wa maombi vibali vya ujenzi wala Mpango Kabambe (Master Plan) unaomtaka mmiliki wa kiwanja/jengo katikati ya Mji hasa Kata za Bondeni,Mawenzi , Kiusa na baadhi ya maeneo la Kata ya Korongoni kama mtu anataka kujenga ajenge jengo la ghorofa.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi