• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MANISPAA YA MOSHI YAMPONGEZA DR SAMIA KWA KAZI NZURI ANAZOFANYA

Posted on: July 28th, 2023


MSTAHIKI Meya wa Halmashauri Manispaa ya Moshi Mhandisi Zuberi Kidumo amesema hakuna dhambi wala kosa aina yoyote kumpongeza au kumsifia Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa utendaji kazi wake mzuri na ule wa serikali ya awamu ya sita kwa ujumla.

Msatahiki Kidumo alieleza hayo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kilichokaa jana kujadili taarifa ya utendaji wa Baraza hilo kwa mwaka wa fedha wa 2022-2023.

“Kupitia taarifa hii tumeona jinsi Halmashauri yetu imepata mafanikio makubwa kutokana na fedha kutoka Serikali kuu pamoja na zile zilizotokana na mapato ya ndani; hivi kuna dhambi gani kumshukuru au hata kumsifu kiongozi wa serikali iliyoleta  fedha hizo”, alihoji  Mstahiki Meya  .

Alisema amelazimika kutoa dukuduku hilo kutokana na kile alichosema ni lawama anazopata kwa watu pale anapotoka kuelezea kazi nzuri zinazofanywa chini ya usimamizi wa Rais Dr Samia.

“Kama wao hawaoni utendaji mzuri wa Rais, sisi ambao ni wasaidizi wake tunaziona hivyo ni vyema tukautaarifu umma kuhusu yaliyofanyika ili wale wasio na uelewa wa jinsi Serikali inavyochangai maendeleo yao na ya nchi kwa ujumla wapate uelewa huo”, alisema.

Akiwasilisha taarifa hiyo, Meya Kidumo alisema kuwa katika sekta ya elimu  katika Shule za Msingi na Awali madarasa yameongezeka  kutoka 507 mwaka wa fedha 2021/2022 hadi kufikia 530 kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023 na  Sekondari  madarasa yameongezeka kutoka  268  kwa mwaka 2021/2022 na kufikia 317 kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Alisema, “Katika kipindi hicho idadi ya madawati Shule za Msingi imeongezeka kutoka 11,490 na kufikia 11,730, wakati katika Shule za Sekondari idadi hiyo imeongezeka kutoka 11,400 hadi 11,500”.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi