• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MAFUNZO YA SHERIA YA MANUNUZI KWA MADIWANI

Posted on: May 8th, 2018

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, imetoa

mafunzo ya sheria ya manunuzi ya mwaka 2011 na marekebisho yake ya

mwaka 2016 kwa Madiwani ,hatua ambayo itawawezesha kujua dhana na msingi wa manunuzi ya umma.

Akifungua mafunzo hayo,Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhandisi

Aisha Amour, alisema yatakuwa chachu kwa Madiwani wa Halmashauri hiyo,

na kuwapa uelewa wa pamoja kati yao na watendaji, ili kusimamia

manunuzi yote yanayofanywa na Halmashauri.

Amour alisema msingi wa manunuzi ya umma, ni kuhakikisha kuwa, kuna kuwepo na

uwazi, uwajibikaji,usawa,thamani ya fedha,uadilifu na ushindani ili

kuleta bei nzuri kwa taasisi ya manunuzi, na hivyo kuwataka madiwani

kutumia mafunzo watakayoyapata kuhakikisha, sheria ya manunuzi na

marekebisho yake inafuatwa na kutekelezwa kikamilifu.

“Ndugu madiwani, Mafunzo haya mnayoyapata, ni muhimu katika

kufanikisha shughuli za manunuzi katika halmashauru yenu,na kupunguza

gharama kupitia taratibu za manunuzi, zenye ufanisi unaofaa kwa

kununua kwa usahihi ili kupata thamani ya fedha”alisema Mhandisi Amor.

Aidha alisema Madiwani wana jukumu kubwa la kusimamia Mapato na

matumizi ya halmashauri,hivyo kutolewa kwa mafunzo hayo, kufungue njia

na mwanga wa kuhakikisha michakato yote ya manunuzi katika Halmashauri

hiyo inazingatia sheria na taratibu  za manunuzi.

Akizungumza Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa Michael Mwandezi, alisema madiwani wakizingatia mada zote zitakazofundishwa, wataweza kuhakikisha Halmashauri hiyo inafanya

manunuzi kwa kuzingatia Sheria,Kanuni na miongozo mbalimbali itolewayo

na Mamlaka ya usimamizi ya manunuzi ya umma.

Wakizungumza baadhi ya madiwani walioshiriki mafunzo hayo,walisema

yatakuwa chachu ya kuwawezesha kusimamia na kutekeleza sheria ya

manunuzi, ikiwa ni pamoja na kusimamia michakato yote ya manunuzi katika

Halmashauri  kwa ufanisi bila upendeleo.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi