• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AIPONGEZA MANISPAA YA MOSHI

Posted on: April 2nd, 2024

KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024, Godfrey Eliakimu Mzava ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kwa kutoa zaidi ya Sh. Mil 650 za mapato ya ndani kwa ajili ya Ujenzi wa uwanja wa Michezo wa Majengo. Ametoa pongezi hizo wakati alipoongoza Mwenge wa Uhuru mwaka 2024  kukagua na kuweka jiwe la Msingi katika Ujenzi wa Jukwaa la watazamaji na vyumba vya kubadilishia nguo kwa wachezaji wa mpira.

Naipongeze Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kwa kutenga  na kutoa fedha hizi kwa ajili ya Ujenzi wa Uwanja huu pamoja na kuwa kazi hii ya ujenzi wa ipo asilimia 47 nina hakika mtaendelea kutoa hizi za mapato ya ndani kadri mnavyokusanya na mtasimia na kuhakikisha mradi huu unaisha kwa wakati. Alisema Mzava

Tumejiridhisha mradi huu pamoja  na nyaraka za mradi huu baada ya kuzikagua zipo vizuri sambamba na  nikiri mpaka hatua hii kazi kubwa na nzuri imefanyika.Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 tumeridhia uwekaji jiwe la msingi katika mradi huu" alisema Mzava

Akisoma taarifa ya ujenzi wa Uwanja kwa kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa  Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Sekondari Mwl Agnes Luhwavi  alisema lengo la mradi huu kuwawezesha Wananchi wa Manispaa ya Moshi na hasa Vijana kufanya Mazoezi kwa ajili ya kuimarisha afya zao.

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ilianzisha ujenzi wa Uwanja wa Majengo kutokana na uhitaji wa jamii kufanya mazoezi ya viungo kwa ajili ya kuimarisha afya zao.

Mradi huu unatarajia kukamilika tarehe 14/4/2024 na kazi zitakazotekelezwa ni ujenzi wa Uzio kuzunguka eneo la kuchezea( pitch), Ujenzi wa vyumba vya kubadilishia nguo kwa wachezaji, Ujenzi wa vyumba vya waamuzi, Ujenzi wa vyoo vya wachezaji na watazamaji na Jukwaa na Watazamaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi