• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

KAMATI YA SIASA MKOA KILIMANJARO YARIDHISHWA NA UONGOZI WA MANISPAA YA MOSHI KWA MATUMIZI MAZURI FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: February 4th, 2021

Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Kilimanjaro imeridhishwa na matumizi ya fedha kiasi cha Shilingi 750 zilizotolewa na Serikali Kuu kwa ya ukarabati wa Miundombinu ya Shule kongwe ya Sekondari ya Mawenzi.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Kilimanjaro Jonathan Mabihya wakati wa Ziara ya Kukagua miradi iliyotekezwa na Serikali katika Halmashauri ya Manispaa ya Mosh ambapo kamati hiyo iliridhishwa na matumizi ya Shilingi Milion 500 zilizotumika kukarabati Majengo kumi na kuweza kuokoa zaidi ya Shilingi Milioni 200 ambazo zitatumika kukarabati majengo mengine ambayo hayakuwa kwenye mpango wa awali.

“Tumekagua ukarabati wa Majengo yote ya Shule hii na ninawapongeza Manispaa ya Moshi akiwemo Mstahiki Meya Juma Raibu Juma bila kusahau bodi na uongozi wa Shule kwani mmesimamia vizuri ukarabati huu na Matumizi sahihi ya fedha za Serikali yanaonekana.Hongereni sana kwani Shule imependeza sana.”Alisema Mabihya.

Aidha Uongozi wa Kamati ya Siasa ya Mkoa umeshauri  Uongozi Manispaa ya Moshi kuona umuhimu wa kutenga bajeti kwa kutumia mapato ya ndani kwa ajili ya kujenga bwalo la chakula kwa ajili ya wanafunzi kwani bwalo la sasa linaonekani ni dogo kulingana na idadi ya wanafunzi waliopo.

Miongoni mwa Miradi iliyotembelewa na Kamati ya Siasa ya Mkoa ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Taifa cha Mabasi cha Ngangamfuni, Dampo la Kisasa, Kiwanda cha kutengeneza Mbolea ya Mboji pamoja na ujenzi wa Majengo ya wagonjwa wan je na Mama na moto zahati ya Njoro kata ya Njoro.  

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi