• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

KAMATI YA SIASA CCM MKOA KILIMANJARO YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI NA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: August 12th, 2021

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro imefanya ziara ya kutembelea na kukagua Miradi ya Maendeleo ya mwaka wa fedha 2020/2021 ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi  na kuridhishwa na utekelezaji na usimamizi wa miradi hiyo.

Miradi iliyotembelewa ni Ujenzi wa Ujenzi wa Ofisi ya Kata ya Njoro,Ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na Ujenzi wa watundu 5 ya vyoo katika shule ya Msingi Mandela, Ujenzi wa bweni la wasichana katika shule ya sekondari Karanga,Ujenzi wa Standi Ngangamfuni na ukarabati wa shule kongwe ya Moshi sekondari.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Patrick alisema  ni lengo la Ziara hii ni  kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya Mwaka 2020/2025  na wajumbe kuona na kuhakikisha ilani hiyo inatekelezwa kwa kujenga  miradi ya Maendeleo ambayo imelenga kutatua changamoto za wananchi  kwenye sekta za Elimu, Utawala, na usafirishaji.

“Tunamshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika Manispaa ya Moshi na hii inadhihirisha kuwa CCM tuliahidi mambo na tunateleleza “Alisema Boisafi

Boisafi katika majumuisho ya ziara hiyo, alisema kamati ya Siasa Mkoa wa Kilimanjaro imeridhishwa na kasi ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo,  na kutoa pongezi  kwa Mkuu wa Wilaya ya Moshi  Saidi Mtanda na Mstahiki Meya Juma Raibu kwa kusimamia  utekeleza Miradi ya maendeleo kwa ufanisi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi