• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI YAFANIKIWA KUKUSANYA MAPATO YA NDANI ZAIDI ASILIMIA 96

Posted on: August 9th, 2021

Halmashauri ya Manispaaa ya Moshi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 imefanikiwa kukusanya mapato ya ndani kiasi shilingi 5,964,356.906 ambazo ni sawa asilimia 96.40 ya lengo lililowekwa la kukusanya kiasi cha shilingi 6,186,836,000 .

Hayo yamebainishwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi wakati akisoma taarifa ya mwaka utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa mwaka 2020/2021 wakati wa Baraza la madiwani lilifanyika katika ukumbi wa Manispaa.

Alieleza kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi imefanikiwa kukusanya mapato haya ya ndani kutokana na kusimamia  vizuri matumizi ya mfumo ya Kieletroniki wa LGRCS (The Local Government Revenue Collection  Information System ) ambao umerahisisha utuoaji huduma kwani umeunganishwa na  watoa huduma wengine kama vile mabenki na kampuni za simu.

“Tulijiwekea malengo ya kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 6.1 lakini kutoka na sababu mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa Corona ulivyoathiri  biashara na makampuni mbalimbali  hadi kufikia juni 30 2021 tumefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi billion 5.9 sawa na asilimia 96.45”  Alisema Mtahili Meya Raibu

Tunawashukuru wale wote waliotoa waliofanikisha ukusanyaji huu wa mapato kwa fedha hizi zimetumika kwenye miradi ya maendeleo, uendeshaji wa ofisi, utoaji wa mikopo ya wanawake,Vijana na Walemavu nakutatua changamoto mbalimbali wakazi wa Manispaa ya Moshi.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi