• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA MISINGI YA HAKI

Posted on: April 12th, 2024

Watumishi Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya haki na kuepuka dhuluma kwa wale wanaowaongoza na kuwasimamia.

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Manispaa Bi Mwajuma Nasombe wakati akifungua kikao kazi cha watumishi viongozi katika ngazi ya Kata na Mitaa wa Manispaa, kilichofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari Moshi.

Nasombe amesema watumishi wote waliopewa dhamana ya uongozi, wanapaswa kusimama kwenye haki na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa, ili kuwezesha dhamira ya serikali ya kuwaletea wananchi maendeleo kufikiwa kikamilifu.

"Tusiache kumtanguliza Mungu kwenye kila tunachofanya, niwakumbushe watumishi wenzangu, hakuna kitu kibaya kama dhuluma, dhuluma ni mbaya, wakati mwingine unaweza kuona unafanya mambo yako hufanikiwi, kumbe kuna nafsi zinalia kwa ajili yako, unashangaa kila unachofanya hakiendi mbele, kumbe unawadhulumu watu wengi na machozi ya watu wasiokuwa na hatia, lazima uyalipie, usipolipa wewe watalipa kizazi chako"Alisema Nasombe

Aidha aliwataka  watumishi wa umma kujua majukumu yao na wajibu wao kwa jamiii na  ni lazima wajue wanawajibika  katika maeneo gani na wakati gani wanatakiwa kufanya nini na pia wanatakiwa kusema nini.

"Watumishi wenzangu, tunakwenda kwenye maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, vibweka hapa katikati vitakuwa vingi sana, usishawishike kuzungumza kitu ambacho hukifahamu na sitarajii kukuona unazungumza beyond (zaidi) ya mipaka yako, lakini sitarajii zaidi ukizungumza vitu ambavyo vitakwenda kupasua taifa hili, mimi kama kiongozi wenu ninatamani tutembee pamoja".

Katika hatua nyingine, Nasombe aliwataka viongozi hao kusimamia fedha za miradi kwa uadilifu na kuhakikisha kila fedha inayoingia kwa ajili ya utekekezaji wa miradi ya maendeleo kwenye maeneo yao, wanashirikisha watalaamu wa Manunuzi ili kuepuka matumizi mabaya ya fedha.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi