• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

CCM WILAYA YAIPONGEZA MANISPAA KWA KUTENGA ASILIMIA 60 YA MAPATO YA NDANI KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: August 16th, 2021

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM) yaipongeza Halmasauri ya manispaa ya Moshi kwa kufanikiwa kutenga asilimia 60 ya mapato ya ndani kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ikiwa ni mkakati wa kuboresha mazingira ya kufanyia kazi na kutoa huduma bora kwa wananchi..

Pongezi hizi zimetolewa na  Mwenyekiti wa CCM Moshi Mjini, Alhaji Omari Shamba wakati wa ziara ya wajumbe wa Kamati ya Siasa Moshi Mjini ya kukagua   miradi ya maendeleo  iliyotekelezwa kwa mwaka wa fedha 2020/2021.

“Tunaipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Moshi kwa kuweza kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo yenye lengo la kutatua kero za wananchi kwenye sekta ya Afya,Elimu  na Utawala bora”Alisema Alhaj Shamba

Tunawataka wananchi na watumishi wa Halmashauri kuhakikisha miradi hiyo inatunzwa na kulindwa ili iweze kudumu kwa muda mrefu na kunufaisha wananchi.

Katika ziara hiyo Kamati ya Siasa  ilikagua mradi wa ukarabati wa zahanati ya Bondeni, ujenzi wa zahati ya Kata ya Njoro,ujenzi wa maabara ya fizikia shule ya sekondari ya JK Nyerere, ujenzi wa choo cha wanafunzi matundu 10, shule ya msingi Msaranga, ujenzi wa choo shule ya sekondari Korongoni na mradi wa ujenzi wa ofisi ya Kata ya Soweto.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI June 09, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi