• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

BAJETI YA ZAIDI YA SH. BILIONI 48 YAPITISHWA KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019

Posted on: March 1st, 2018

Baraza la Madiwani la Manispaa ya Moshi, limepitisha bajeti ya mwaka wa fedha wa 2018/2019 ambayo ni zaidi ya Sh. Bilioni 48.482.

Meya wa Manispaa hiyo, Raymond Mboya alitangaza bajeti hiyo , wakati akifunga kikao cha Baraza la Madiwani kilichoketi kujadili na kuidhinisha mapendekezo hayo ya bajeti.

“Bajeti hii ya Shilingi bilioni 48, 482, 284, 521 tuliyoipitisha leo, inajumuisha miradi ya maendeleo, mishahara na matumizi menginineyo ya Manispaa yetu, lakini mapato ya ndani ni sh. bilioni 6, 259, 680,600 na hii ni pamoja na ongezeko la shilingi milioni 570,”alisema Mboya

Alisema mbali ya baadhi ya vyanzo vya mapato kufutwa na serikali kuu na kupelekea kushuka kwa mapato ya Manispaa hiyo, bado halmashauri ya Manispaa ya Moshi imeweza kupandisha mapato yake kutoka kwenye vyanzo vingine na kuwa kiasi cha sh. bilioni 6.2.

Kutokana na mafanikio hayo, Meya huyo alimwomba Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Michael Mwandezi kuhakikisha bajeti hiyo inafanyiwa kazi.

Akisisitizia kwamba hatua hiyo ni muhimu, Mboya alisema: “Tunaomba juhudi zifanyike katika makusanyo kwa sababu hatujui kesho, kesho kutwa ni mapato gani mengine ambayo yatakusanywa na serikali kuu. Sasa twende kwenye utekelezaji wa kuhakikisha tunayapata haya mapato, naomba nitangaze rasmi hii ya sh. Billion 48,482,284,521  ndio bajeti ya Manispaa ya Moshi kwa mwaka mpya wa fedha 2018/2019.”

Aidha, Meya  alisema Manispaa  imejipanga kuhakikisha inasimamia miradi hiyo ili ilete mabadiliko ya kiuchumi kwa  wananchi na wakazi wa Manispaa ya Moshi .

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi