• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Moshi Municipal Council
Moshi Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • History
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhamira
      • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
        • Elimu ya awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mipango Takwiku na Ufuatiliaji
      • Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Elimu ya awali na Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ununuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Election
    • Muundo wa Kiutawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Michezo na Utamaduni
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

AINA YA LESENI NA MAKOSA KISHERIA

AINA YA LESENI:

1. Retailers on Licence – Bar

2. Retailers off Licence - Grocery – Off – Licence

3. Wholesale dealers Licence – Kuuza pombe za kigeni jumla

4. Member Club Licence – Leseni ya klabu ya wanachama

5. Local Liquor Licence – Leseni ya pombe za kienyeji

ADA YA LESENI YA VILEO:

Biashara za Vileo hazikufanyiwa marekebisho yeyote ya ada ya Leseni.

Leseni hizo zitaendelea kulipiwa ada ya Leseni kila baada ya miezi sita kama ifuatavyo:

 BAR - TSHS. 40,000.00

 GROCERY - TSHS. 30,000.00

 CLUBS - TSHS. 20,000.00

 WHOLESALE - TSHS. 20,000.00

 POMBE ZA KIENYEJI - TSHS. 12,000.00

 

MAKOSA CHINI YA SHERIA HII:

1. Kuendesha shughuli kabla au baada ya saa zilizoruhusiwa.

2. Kuhudumia wateja ambao ni chini ya umri ulioruhusiwa kisheria (miaka 18)

3. Kutokuiweka Leseni ya Vileo katika eneo husika wakati biashara inafanyika (Serving

point ) kwa mfano: Counter

4. Kuendesha vituo vya kuuzua (Serving points)zaidi ya kimoja kwa Leseni moja kwa

mujibu wa Sheria kila counter inatakiwa kuwa na Leseni yake.

 

SAA ZINAZOKUBADILIKA KISHERIA KWA WAFANYABIASHARA WA VILEO

KWA KUZINGATIA AINA YA LESENI ILIYOTOLEWA.

1. BAR (RETAILERS ON LICENCE):

(i) Jumatatu hadi Ijumaa:

(a) Saa 6:00 Mchana hadiSsaa 8:00 Mchana.

(b) Saa 12:00 hadi 5:00 Usiku.

(ii) Jumamosi, Jumapili na Siku za Sikukuu:

(a) Saa 5:00 Asubuhi hadi Saa 8:00 Mchana.

(b) Saa 11:00 Jioni hadi Saa 6:00 Usiku.

 

2. GROCERY AND WHOLESALE (RETAILERS OFF LICENCE &

WHOLESALE):

(i) Jumatatu hadi Ijumaa

(a) Saa 2:00 Asubuhi hadi Saa 1:00 Usiku

(ii) Jumamosi,Jumapili na Siku za Sikukuu:

(a) Saa 3:00 Asubuhi hadi Saa 6:00 Mchana

 

3. RESTAURANTS AND HOTELS:

(i) Jumatatu hadi Ijumaa

(a) Saa 6:00 Asubuhi hadi Saa 8:00 Mchana

(b) Saa 12:00 Jioni hadi Saa 5:00 Usiku

(ii) Jumamosi,Jumapili na siku za sikukuu:

(a) Saa 5:00 Asubuhi hadi Saa 8:00 Mchana.

(b) Saa 11:00 Jioni hadi Saa 6:00 Usiku.

 

4. MEMBERS CLUB (KLABU YA WANACHAMA):

Masharti yake kama Bar ila pombe ni mali ya Club na inanywewa na wanachama tu.

(i) Jumatatu hadi Ijumaa

(a) Saa 6:00 Mchana hadi Saa 8:00 Mchana

(b) Saa 12:00 Jioni hadi Saa 5:00 Usiku

(ii) Jumamosi,Jumapili na siku za Sikukuu

(a) Saa 5:00 Asubuhi hadi Saa 8:00 Mchana

(b) Saa 11:00 Jioni hadi Saa 6:00 Usiku

 

5. POMBE ZA KIENYEJI:

(i) Jumatatu hadi Ijumaa

(a) Saa 6:00 Mchana hadi Saa 8:00 Mchana

(b) Saa 12:00 Jioni hadi Saa 5:00 Usiku

(ii) Jumamosi,Jumapili na Siku za Sikukuu

(a) Saa 5:00 Asubuhi hadi Saa 8:00 Mchana

(b) Saa 11:00 Jioni hadi Saa 6:00 Usiku

 

UHAMISHO WA LESENI:

Kila Mfanyabiashara atakaye hamisha biashara kutoka eneo moja kwenda eneo jingine

anapaswa kuandika barua kwa Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kupitia kwa Afisa Mtendaji wa

kata Biashara inakohamia na gharama za Uhamisho ni Shs Elfu kumi tu 10,000/=

 

UPOTEVU WA LESENI:

Mfanyabiashara aliyepoteza /kuibiwa Leseni anapaswa kutoa taarifa kituo cha polisi Wilaya ili

apewe kibali cha Upotevu wa Leseni (Loss report). Baada ya kupata kibali cha Upotevu

akipeleke katika Ofisi ya Halmashauri Kitengo cha Biashara na atalipishwa Tshs

20,000/=kwa ajili ya kupata Nakala ya Leseni.

 

KUFUNGA BIASHARA:

Kila Mfanyabiashara atakayesimamisha/kuacha kufanya biashara atapaswa kuandika barua kwa

Mkurugenzi wa Manispaa kupitia kwa Afisa Mtendaji wa Kata husika.

NB:

Pamoja na taratibu zilizoanishwa hapo juu Mfanyabiasha anapaswa kulipia Ada zifuatazo:

1. Ushuru wa Huduma (Service Levy)

2. Ada ya Mabango (Billboard Fee)

3. Hotel Levy kwa Biashara za Hotels,Guest house na Lodge (Hulipwa kila Mwezi)

4. Ada ya Ukaguzi wa Jengo la Biashara (Inspection Fee for Business premise)

5. Ada ya Uzoaji taka(Refuse Collection Fee)

6. Ada ya Upimaji Afya kwa wahudumu wa nyumba za kulala wageni na wauzaji

vyakula.(Medical Examination F

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA MANISPAA YA MOSHI April 17, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI July 13, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU September 21, 2020
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA(JOINING INSTRUCTIONS)KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOSHI 2021 December 18, 2020
  • Tazama

Habari Mpya

  • ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI

    April 10, 2025
  • BAJETI YA KIMKAKATI WA KUONGEZA MAPATO YA NDANI

    February 07, 2025
  • MAMA SAMIA ATOA TSH. BILLIONI 956 KWA AJILI MIRADI YA MAENDELEOA MKOA WA KILIMANJARO

    January 27, 2025
  • MANISPAA YATOA MIKIPO ISIYO NA RIBA ZAIDI YA TSH. BILLION 1.1

    January 20, 2025
  • Tazama

video

ZAWADI YA USAFI YARUDI NYUMBANI
videos

Kurasa za Karibu

  • Instagram account

Tovuti Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    MOSHI MANISPAA KILIMANJARO

    Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI

    Simu: +255-027-2752906

    simu ya Mkononi: +255-027-274371/4

    Barua Pepe: md@moshimc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi