Friday 26th, April 2024
@VIWANJA VYA HINDU MANDAL
Kampeni ya FURAHA YANGU, PIMA, JITAMBUUE, ISHI itakafanyika mkoa wa Kilimanjaro kuhamasisha jamii upimaji wa Afya ili waweze kutambua afya zao na kupunguza maambukizi ya VVU na UKIMWI.Kampeni hii itazinduliwa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro katika viwanja vya Hindu Mandal kuanzia tarehe 10/09/2018.
MOSHI MANISPAA KILIMANJARO
Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI
Simu: +255-027-2752906
simu ya Mkononi: +255-027-274371/4
Barua Pepe: md@moshimc.go.tz
Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi