Thursday 25th, April 2024
@Manispaa ya Moshi
Halmashauri ya Manispaa ya Moshi inatarajia kupokea na kuukimbiza mwenge wa Uhuru ambao utatembea,kuzindua na kuweka mawe ya msingi kwa miradi mbalimbali ya maendeleao.Gharama za miradi hiyo ni jumla ya zaidi tsh 10,919,843,000/=.Mkesha wa Mwenge wa Uhuru utakuwa katika viwanja wa ofisi ya kata ya Majengo.
MOSHI MANISPAA KILIMANJARO
Sanduku la barua: P.O BOX 318 MOSHI
Simu: +255-027-2752906
simu ya Mkononi: +255-027-274371/4
Barua Pepe: md@moshimc.go.tz
Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Manispaa ya Moshi